Mimba i inatungwa wakati yai la kike linaporutubishwa na mbegu za kiume. Kama tulivyoona hapo juu, jinsia ya mtoto i inategemea aina ya mbegu za kiume. Nusu ya mbegu za mwanaume zinatengeneza mtoto wa kiume na nusu ya mbegu zinatengeneza mtoto wa kike. Lakini wanaume hawana uwezo wa kuamua aina ya mbegu i itakayorutubisha yai. Kwa hiyo, haiwezekani kupanga. Jinsia ya mtoto i nategemeana na bahati tu.
Je, unaweza kupanga kuzaa aina ya watoto, yaani wa kiume au wa kike tu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Madhara yatokanayo na ukeketaji
Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi
Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi
Kila mwanaume anatamani kumpata m... Read More
Kwa nini kuna Watanzania wanaovuta bangi?
Sababu mojawapo ni kuwa bangi hulimwa hapa nchini na
hivyo hupatikana kwa urahisi. Bangi huu...
Read More
Ubakaji ni nini?
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake... Read More
Vidokezo vya Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuanza Uhusiano
Urafiki mzuri ni msingi muhimu wa kuanza uhusiano wa kimapenzi. Kujenga urafiki mzuri na msichana... Read More
Je, nini imani ya watu katika kutumia mawasiliano ya kimwili kama ishara ya mapenzi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, nini imani ya watu katika kutumia mawasiliano ya kimwili kama ishara ya mapenzi wakati wa ngo... Read More
Je, Uvutaji wa sigara unafurahisha na kuchangamsha?
Ndiyo, lakini ni mwanzo tu na kwa muda mfupi; hii ni kwa
sababu mwanzoni nikotini iliyomo ka...
Read More
Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?
Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?
Haya ni maswali mengi... Read More
Madhara ya dawa za kulevya kwa mwili na ubongo
Mbinu za Kupata Tarehe na Wasichana kwa Mafanikio
Leo, tunazungumzia mbinu za kupata tarehe na wasichana kwa mafanikio. Kila mtu anataka kuwa na mp... Read More
Je, baada ya kutumia vidonge au sindano kwa muda mrefu, mwamamke akiacha kuzitumia hizo njia ataweza kupata mimba tena?
Vidonge na sindano zinazuia mimba kwa kuzuia yai lisipevuke. Akitumia njia hizi za kuzuia mimba, ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!