Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupanga kuzaa aina fulani ya mtoto. Tulivyoona juu ni mwanaume ndiye aliye na aina mbili za mbegu. Aina moja husababisha kutokea mtoto wa kike na aina nyingine mtoto wa kiume. Mwanaume hana uwezo wa kuhakikisha achangie aina ya mbegu gani. Kwa hiyo, hata kama ni mwanaume anayeyakinisha jinsia ya mtoto, hana kosa, kwa sababu hana uwezo wa kuamua achangie mbegu ya aina gani.
Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si ...
Read More
Nikishatambua kwamba nina mimba, nifanye nini?
Ukishatambua kwamba una mimba kuna mambo mbalimbali tofauti ya kufanya. Kwanza kabisa mweleze mwe... Read More
Ni katika umri gani vijana wana haki ya kujihusisha na mambo ya kujamiiana?
Kujamiiana ni uamuzi wa mtu binafsi. Ni uamuzi wako na hakuna
mtu yeyote mwenye haki ya kuku...
Read More
Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?
Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako? Swali hili limekuwa li... Read More
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako
Kupanga tarehe ya kipekee na msichana ... Read More
Kinga ya mwili ni nini?
Ubakaji ni nini?
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake... Read More
Njia za Kufanya Msichana Amevutiwa na Wewe kwa Muda Mrefu
Habari wapendwa, leo tutazungumzia njia za kufanya msichana amevutiwa na wewe kwa muda mrefu. Kun... Read More
Unyanyasaji wa kijinsia
Mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wavulana Wakati wa makuzi au wakati wa kubalehe?
Wakati wa makuzi au kipindi cha kubalehe, wavulana hupitia mabadiliko mbali... Read More
Vidokezo vya Kufanya Msichana Aonekuwa Muhimu katika Maisha Yako
Mwanamke ni hazina kubwa katika maisha ya kila mwanaume. Ni kiumbe chenye thamani, cha thabiti na... Read More
Nifanye nini ili kujua kama nina au sina maambukizi ya Virusi vya UKIMWI?
Ipo njia moja ya kuhakikisha kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI au hapana. Njia hii ni... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!