Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, ni tabia zipi zinazochangia kuenea kwa virusi vya UKIMWI?

Featured Image

Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi wa kufanya ngono, uwezekano wa kupata maambukizi unaongezeka,. Hi ni kwa sababau kila mpenzi anaweza kuwa chanzo cha maambukizi endapo watashiriki ngono za aina yeyote (ukeni au sehemu ya haja kubwa) bila kutumia kondomu.
Pia kuchelewa kutibu magonjwa mengine ya zinaa, i inachangia kuenea kwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Kwa mfano, kama mtu anaugua ugonjwa wa zinaa, vijidudu vya UKIMWI vinaweza kuingia mwilini kwa urahisi zaidi kwa sababu ya vidonda sehemu zake za siri.
Mwisho, matumizi ya dawa za kulevya pamoja na ulevi wa pombe wa kupindukia yanaweza kuchangia kufanya maamuzi yasiyo sahihi katika matendo ya ngono.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kuna aina ngapi za dawa za kulevya?

Kuna aina ngapi za dawa za kulevya?

Tunatofautisha dawa za kulevya katika makundi mawili. Zile zinazokubalika na zile zisizokubalika ... Read More

Je, uke wa mwanamke unaweza kupanuka kiasi gani?

Je, uke wa mwanamke unaweza kupanuka kiasi gani?

Wakati wa kujifungua, uke wa mwanamke mzima hupanuka kuanzia kipenyo cha sentimeta kumi mpaka kum... Read More

Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako?

Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako?

Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako? Hii ni mada ambayo i... Read More

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?

Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu... Read More

Je, Ni Lazima Kutumia Kinga (Condom) Kila Wakati?

Je, Ni Lazima Kutumia Kinga (Condom) Kila Wakati?

Je, ni lazima kutumia kinga (condom) kila wakati? 🌍

Leo nataka kuzungumzia jambo muhimu... Read More

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa ka... Read More

Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai

Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai

Mapenzi ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila mwanadamu, na kwamba uhusiano wa kimapenzi ni s... Read More

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi ya kufanya mazoezi ya kimwili?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi ya kufanya mazoezi ya kimwili?

Habari rafiki! Karibu katika makala hii ambayo itakupa mwanga kuhusu kile watu wanapendelea kati ... Read More

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kuba... Read More

Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni

Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni

Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki zaRead More

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku... Read More

Njia za Kujenga Uaminifu na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Uaminifu na Msichana katika Uhusiano

Kama mwanamume, ni muhimu sana kujenga uaminifu na msichana katika uhusiano wako. Njia hii itakus... Read More