Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?

Featured Image

Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi zinazotumika zinapitishwa na kuingizwa kwa magendo nchini. Kutokana na hali hii serikali imepitisha sheria kuhusu tuhuma za dawa za kulevya yaani Sheria ya Kuzuia Matumizi ya Dawa za Kulevya ya mwaka 1995.

Sheria hii i ii inatoa maelekezo ya kumshughulikia mtuhumiwa wa dawa za kulevya na hutoa adhabu kali kwa waliopatikana na hatia. Katika kusaidia vita dhidi ya dawa za kulevya, Serikali ya Tanzania iliunda tume ya wataalamu mwaka 1996 iitwayo Tume ya Taifa ya Kuzuia na Kuratibu Dawa za Kulevya ili kuendeleza vita hivyo.
Tume hii inawasaidia polisi, polisi wa mipakani na forodha ambao wanazuia uinizaji na usambazaji wa dawa za kulevya kupitia mipakani na kuharibu mashamba ya bangi na mirungi. Wakala hawa kwa sasa wanafanya kazi bega kwa bega na nchi jirani i i ili kuzuia uingizaji wa dawa za kulevya kupitia mipakani. Vilevile inaandaa wataalamu kwa kutumia ASIZE mbalimbali ambazo kazi zao ni kuelimisha jamii kuhusu athari na hatari ya dawa za kulevya na kuwasaidia waathirika.
Tume hii ya wataalamu vilevile inafikiria kuhusu kampeni za kitaifa zinazolenga kuelimisha kuhusu athari za dawa za kulevya. Lakini kazi ya tume hii ni ngumu kutekelezwa kwani vita dhidi ya dawa za kulevya ni jukumu la kila mtu na sio serikali peke yake. Inahitaji msaada kutoka kwa kila mtu na jamii kwa ujumla.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, mtu anawezaje kuacha kutumia dawa za kulevya na itamchukua muda gani kurudia hali yake ya kawaida?

Je, mtu anawezaje kuacha kutumia dawa za kulevya na itamchukua muda gani kurudia hali yake ya kawaida?

Kitu muhimu ni kwamba, kweli uwe umedhamiria kuacha. Hatua ya kwanza ni kujiuliza kwa nini unatum... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono? 🌟

Habari rafiki! Leo t... Read More

Jinsi ya Kusimamia Uchungu wa Kupendwa na Msichana

Jinsi ya Kusimamia Uchungu wa Kupendwa na Msichana

Jinsi ya Kusimamia Uchungu wa Kupendwa na Msichana

Kupendwa na msichana ni jambo la kufura... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano? 🌼

Habari za leo... Read More

Vidokezo vya Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuanza Uhusiano

Vidokezo vya Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuanza Uhusiano

Urafiki mzuri ni msingi muhimu wa kuanza uhusiano wa kimapenzi. Kujenga urafiki mzuri na msichana... Read More

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako? Ndio! Ni m... Read More

Kwa nini Albino wanawekwa katika kundi la watu wenye ulemavu?

Kwa nini Albino wanawekwa katika kundi la watu wenye ulemavu?

Ulemavu maana yake ni hitilafu katika mwili au akili inayomwekea
mipaka mtu asiweze kufaniki... Read More

Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?

Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?

Mara nyingine siyo rahisi kujiepusha na vishawishi vya kujamiiana bila kutumia kondomu kutokana n... Read More

Iwapo msichana atajamiiana wakati wa siku salama anaweza kuepuka kupata mimba?

Iwapo msichana atajamiiana wakati wa siku salama anaweza kuepuka kupata mimba?

Siku salama ni siku ambazo hakuna yai ambalo lipo tayari kwa kurutubishwa. Iwapo mwanamke atajami... Read More

Njia za Kudumisha Mapenzi katika Uhusiano wako na Msichana

Njia za Kudumisha Mapenzi katika Uhusiano wako na Msichana

Mapenzi ni muhimu katika uhusiano wowote wa kimapenzi. Ni muhimu kuchukua hatua za kudumisha mape... Read More

Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano? 😊

Kuwa na nguvu ya kue... Read More

Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?

Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?

Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mw... Read More