Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?

Featured Image

Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile aina za dawa za kulevya, njia za utumiaji, hali ya mtu na mazingira anapozitumia dawa hizo za kulevya. Mtu anaweza kuanza kutumia dawa za kulevya mara kwa mara i ili kukidhi kile anachokihitaji. Kwa baadhi ya dawa za kulevya, na baadhi ya watu, matumizi ya mara kwa mara kwa kipindi cha zaidi ya wiki mbili ni kipimo tosha cha kumfanya aishi kwa kutegemea dawa za kulevya.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Njia za Kujenga Ukaribu wa Kiroho na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ukaribu wa Kiroho na Msichana katika Uhusiano

Kujenga ukaribu wa kiroho na msichana katika uhusiano ni jambo muhimu sana. Uhusiano wa kimapenzi... Read More

Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?

Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?

Hapana, huwezi ukarithi uvutaji wa bangi. Lakini mara nyingi watoto huiga tabia za wazazi wao. Wa... Read More

Madhara yatokanayo na ukeketaji

Madhara yatokanayo na ukeketaji

Ukeketaji au tohara ya wanawake ni hatari sana kwa msichana anayetahiriwa. Wasichana hufa kutokana n... Read More
Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni

Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni

Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki zaRead More

Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?

Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?

Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino... Read More

Je, nini imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Karibu kwenye nakala hii ambayo tunaangazia imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako... Read More

Je, sigara ni sumu kwa binadamu?

Je, sigara ni sumu kwa binadamu?

Ndiyo. Nikotini iliyo kwenye tumbaku ni sumu. Ukiwa na kiwango kikubwa cha nikotini katika damu utaj... Read More
Kwa nini vijana wanakatazwa kujamiiana?

Kwa nini vijana wanakatazwa kujamiiana?

Ujana ni kipindi cha mabadiliko kutoka utotoni kuelekea utu uzima, wakati wa kipindi hiki kijana ... Read More

Je, nini imani ya watu katika kujaribu njia za kutanua wigo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kujaribu njia za kutanua wigo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kujaribu njia za kutanua wigo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mape... Read More

Kwa nini watu wanakunywa pombe?

Kwa nini watu wanakunywa pombe?

Unywaji wa pombe ni sehemu ya utamaduni wa Tanzania na nchi
nyinginezo duniani.

Watu h... Read More

Je, mvulana afanye nini ili kuzuia ndoto nyevu?

Je, mvulana afanye nini ili kuzuia ndoto nyevu?

Ndoto nyevu ni kitu kinachowatokea vijana wakiwa usingizini. Haiwezekani kuzuiwa kwa sababu uko usin... Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono? 🌟

Habari rafiki! Leo t... Read More