Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupanga kuzaa aina fulani ya mtoto. Tulivyoona juu ni mwanaume ndiye aliye na aina mbili za mbegu. Aina moja husababisha kutokea mtoto wa kike na aina nyingine mtoto wa kiume. Mwanaume hana uwezo wa kuhakikisha achangie aina ya mbegu gani. Kwa hiyo, hata kama ni mwanaume anayeyakinisha jinsia ya mtoto, hana kosa, kwa sababu hana uwezo wa kuamua achangie mbegu ya aina gani.
Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele?
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele? Hii... Read More
Ni katika umri gani vijana wana haki ya kujihusisha na mambo ya kujamiiana?
Kujamiiana ni uamuzi wa mtu binafsi. Ni uamuzi wako na hakuna
mtu yeyote mwenye haki ya kuku...
Read More
Je, unaweza kufa ukitumia dawa za kulevya?
Ndiyo, unaweza. Kifo kinaweza kuwa cha ghafla au
kutokana na madhara ya muda mrefu katika vi...
Read More
Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Kwanza kuhusu Ngono na Mpenzi Wangu
Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Kwanza kuhusu Ngono na Mpenzi Wangu πΌ
Karibu sana kwen... Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono ππ‘οΈ
Karibu kijana... Read More
Magonjwa ya zinaa yanavyoenea
Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mt... Read More
Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono
Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono π
Karibu vijana w... Read More
Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?
Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au... Read More
Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono?
Je, ni vipi kuepuka shinikizo la kufanya ngono? Hii ni swali ambalo vijana wengi hujikuta wakijiu... Read More
Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI: Njia za Kuepuka Hatari
Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI: Njia za Kuepuka Hatari
-
Jambo zuri ni kuwa na ... Read More
Ninawezaje kumsaidia mtu kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe?
Jaribu kutafuta sababu zinazowafanya rafiki, ndugu na jamaa
zako kuwa na tabia ya kuvuta sig...
Read More
Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujiongeza nguvu wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari za leo rafiki yangu! Leo tutazungumzia jambo muhimu sana kwenye uhusiano wa mapenzi, ambal... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!