Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?

Featured Image

Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu huyu ni mwanamke/
msichana, mwanaume au
mvulana.

Wavulana na wanaume
wanaweza kubakwa na
wanaume wenzao au wanaweza
kulazimishwa na mwanamke
kujihusisha na tendo la
kujamiiana. Wanaume wanaweza
kulazimisha wavulana
kujamiiana kwa njia ya mdomo
au njia ya haja kubwa. Kisheria hapa Tanzania tukio kama
hili linajulikana kama kulawiti.
Matatizo/matokeo ya kulawiti kwa wavulana ni sawa na yale
yanayopatikana kwa wasichana. Wavulana wanaweza kuumizwa
vibaya zaidi wakati wa kujamiiana na pia kuchanganyikiwa,
kiwewe, na kwa wavulana wanapata madhara zaidi.
Sheria hapa Tanzania12 haziko wazi juu ya ubakaji kwa wavulana
hata hivyo wanatambua mahusiano ya ushoga/ubasha kuwa ni
kosa la jinai.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Nifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono?

Nifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono?

🌟Nifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono? 🌟

Habari kijana! L... Read More

Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?

Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?

Watu wanaweza kuvumisha uongo wowote ili kupotosha
ukweli na kufanya mambo yao maovu wanayoy... Read More

Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?

Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?

Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi... Read More
Jinsi ya Kuvutia Wasichana: Vidokezo vya Kuchumbiana na Wasichana

Jinsi ya Kuvutia Wasichana: Vidokezo vya Kuchumbiana na Wasichana

Jambo rafiki yangu! Katika maisha ya kila siku, tunakutana na wasichana wengi ambao tunapenda kuw... Read More

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Haya ni maswali mengi... Read More

Nifanyeje kuepuka vishawishi vya kujamiiana kutoka kwa watu wengine, hasa wakubwa?

Nifanyeje kuepuka vishawishi vya kujamiiana kutoka kwa watu wengine, hasa wakubwa?

Vijana wengi wanajikuta wanatumbukia katika matatizo mazito kama kupata mimba mapema, utoaji wa m... Read More

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii πŸ“±πŸ”žπŸ”’

Karibu vijana... Read More

Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?

Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?

Ni kweli kwamba wakati wa kujamii ana na kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume i inayopenya kwe... Read More

Kwa nini pombe na sigara bado zinatangazwa wakati zina madhara?

Kwa nini pombe na sigara bado zinatangazwa wakati zina madhara?

Serikali inatakiwa iamue kuwepo kwa matangazo ya biashara
ya pombe na sigara au la? Serikali... Read More

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako? Swali hili limekuwa li... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Uaminifu kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Uaminifu kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Uaminifu kuhusu Ngono? 🌟

Karibu kwa makala hii... Read More

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mt... Read More