Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Albino anaweza kuwa na maisha ya kawaida na yenye mafanikio katika maisha?

Featured Image

Imani iliyojengeka kwenye jamii kuwa Albino wana uwezo
mdogo si ya kweli. Ipo mifano mingi ya watu walioweza kupata
mafanikio katika maisha ambao pia ni Albino. Wapo ambao ni
walimu, wanasayansi, wanasheria, na wengine wapo kwenye
siasa na uongozi.
Mbunge wa Lindi mjini kupitia chama cha CUF mheshimiwa
Salum Khalifan Barwani.
Mbunge wa viti maalumu wanawake Mheshimiwa. Al-Shymaa
Kway-Geer, muimbaji maarufu wa muziki wa kizazi kipya (bongo
flava) Keisha,
mwanasheria Abdallah Possi na Sizya Migila ambaye ni afisa
utawala wa Taasisi ya Uhasibu ya Taifa ni mifano mizuri
inayoonyesha Albino waliopata mafanikio katika maisha yao.
Mwanamuziki wa kimataifa wa Afro-pop kutoka nchi ya Mali
anayeitwa Salif Keita amefikia mafanikio makubwa sana duniani
kote kuanzia bara la Afrika na Ulaya kiasi cha kuitwa, β€œSauti
ya Dhahabu.” Yeye alizaliwa katika familia ya muasisi wa Taifa
la Mali Ndugu Sundiata Keita. Hii pia inadhihirisha kuwa Albino
anaweza kuzaliwa katika familia yoyote kuanzia zile za kifalme
na hata familia maskini za wakulima vijijini.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kwa nini pombe na sigara bado zinatangazwa wakati zina madhara?

Kwa nini pombe na sigara bado zinatangazwa wakati zina madhara?

Serikali inatakiwa iamue kuwepo kwa matangazo ya biashara
ya pombe na sigara au la? Serikali... Read More

Ni hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?

Ni hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?

Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sas... Read More

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano

Karibu kwenye makala hii a... Read More

Ni umri gani ambapo vijana wanapaswa kuelezwa juu ya afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Ni umri gani ambapo vijana wanapaswa kuelezwa juu ya afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Vijana balehe wote wana haki ya kupata habari juu ya mambo yote
wanayoyapenda. Watoto wanavy... Read More

Matatizo yanayotokana na ujauzito katika umri mdogo

Matatizo yanayotokana na ujauzito katika umri mdogo

Wataalamu wanashauri kwamba msichana anastahili kuanza kubeba mimba kuanzia umri wa miaka 18 hadi... Read More

Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?

Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?

Watu wanaweza kuvumisha uongo wowote ili kupotosha
ukweli na kufanya mambo yao maovu wanayoy... Read More

Je, mwanaume anaweza akajua kama amempa msichana mimba siku ileile walipojamiiana?

Je, mwanaume anaweza akajua kama amempa msichana mimba siku ileile walipojamiiana?

Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachuku... Read More

Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana

Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana

Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana

Katika uhusiano wowote, uaminif... Read More

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii πŸ“±πŸ”žπŸ”’

Karibu vijana... Read More

Mambo usiyoyajua kuhusu mimba na wasichana

Mambo usiyoyajua kuhusu mimba na wasichana

Je, mimba hupatikanaje?

Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzung... Read More

Ndoa ya kulazimishwa

Ndoa ya kulazimishwa

Ndoa ya kulazimishwa ni ile ambayo mwanamume au mwanamke
anaozwa bila yeye mwenyewe kukubali... Read More

Ni katika umri gani vijana wana haki ya kutumia huduma za afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Ni katika umri gani vijana wana haki ya kutumia huduma za afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Hakuna kiwango cha umri kwa kutumia huduma za afya ya uzazi
na njia za uzazi wa mpango. Unat... Read More