Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mahitaji
Maharage (beans 2 vikombe vya chai)
Nazi (coconut milk kiasi)
Vitunguu...
Read More
Vipimo Vya Wali
Mchele - 3 vikombe
Tambi - 2 vikombe
Mafuta - ΒΌ kikombe
<...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 ...
Read More
Mahitaji
Kunde (Ila mimi nilitumia Nigerian brown beans 1/2 kilo)
Vitunguu maji (oni...
Read More
Vipimo vya Wali:
Mchele basmati - 3 magi (kikombe kikubwa)
Mchanganyiko wa mboga za...
Read More
Kisamvu ni aina ya mboga ya majani inayopatikana kwa wingi na kwa urahisi katika mikoa takriban y...
Read More
Mahitaji
Mchele
Kisamvu kilichotwangwa
Samaki
Mbaazi
Nyanya chunguRead More
Mahitaji
Pilipili hoho (Red pepper 3)
Cougette 1
Kitunguu (onion 1)
Uyoga ...
Read More
Viamba upishi
Nyanya 1Β kg
Maji Iita Β½
Chumvi kijiko kidogo 1
Sukari
<...
Read More
MAHITAJI
Unga - 2 Vikombe
Cocoa ya unga - 1 Kijiko cha supu
Sukari ya hudhuru...
Read More
Mahitaji
Samaki (Tilapia 2)
Nyanya ya kopo (Tomato tin 1)
Kitunguu (Onion 1)Read More
Mahitaji
Unga wa ngano ( self risen flour) kikombe 1 na 1/2
Hamira (yeast) 1 kijiko ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!