Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Vipimo
Mchele vikombe 3
Karoti 1 ikune (grate)
Mchicha katakata kiasi
A...
Read More
Viamba upishi
Unga 2 Magi (vikombe vya chai)
Sukari iliyosagwa 2/3 Magi (kikombe ch...
Read More
Mahitaji
Viazi (potato 1/2 kilo)
Samaki (fish 2)
Asparagus 8
Kitunguu kili...
Read More
Ulaji wa mboga za majani ni muhimu kwa sababu zina vitamini na madini mengi na viwango vidogo vy...
Read More
Vipimo
Majimbi (Eddoes) kiasi 6 au 7
Nyama ng’ombe ½ kilos
Tangawizi ilosa...
Read More
MAHITAJI
Unga - 2 Vikombe
Sukari ya icing - 1 Kikombe
Siagi - 250 gm
Yai -...
Read More
Viambaupishi
Mchele wa basmati - 3 vikombe
Kuku - ½
Bilingani - 2 ya kiasiRead More
Wali Wa Nazi
Mpunga - 4 vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi - Kiasi
Read More
Mahitaji
Mchele 2 vikombe vya chai
Choroko kikombe 1 na 1/2
Nazi kopo 1
Sw...
Read More
Vipimo
Boga la kiasi - nusu yake
Tui zito la nazi 1 ½ gilasi
Sukari ½ kikom...
Read More
Ulaji wa mboga za majani ni muhimu kwa sababu zina vitamini na madini mengi na viwango vidogo vy...
Read More
Mahitaji
Mchele wa basmati - 3 Vikombe
Dengu - 2 vikombe
Viazi - 3 vikubwaRead More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!