Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Hassan (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Guest (Guest) on August 13, 2026

Umeweza

Husna (Guest) on June 18, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Guest (Guest) on May 5, 2026

HUYO HUYO

Fadhila (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Guest (Guest) on November 24, 2025

".yani mtu unakuta nimevaa vizuri
:badara uniambie nduguyangu
=umependeza
.unakuja kuniambi
.ET UMEULAMBAA
WEWE nimeulamba mnini..
naulishawahi kuniona naulamba wap nanani alikwambia mimi naulamba
umeona naishara gani paka ukasema nimeulamba nimeramba kinini umeona mimi ndo wakuulamba mimi kwel au ww unaesoma ndohuwa unaulamba

aaaa badilisheni kali bwana a
(abu me by )

Guest (Guest) on June 20, 2026

Acha basi

Aziza (Guest) on May 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Kimaro (Guest) on April 29, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mwajuma (Guest) on April 17, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on March 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Mrope (Guest) on February 19, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Guest (Guest) on August 7, 2026

We nawe

Amina (Guest) on January 24, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on January 22, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on December 31, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samson Tibaijuka (Guest) on December 28, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Mallya (Guest) on December 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Baraka (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Awino (Guest) on August 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on July 20, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nduta (Guest) on June 23, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Janet Wambura (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 6, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mchawi (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Furaha (Guest) on March 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 13, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 4, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Guest (Guest) on February 7, 2026

A

Benjamin Masanja (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on December 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on November 25, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on November 19, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kitine (Guest) on October 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on October 1, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nahida (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on August 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on July 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on June 30, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More