Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edith Cherotich (Guest) on July 23, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Guest (Guest) on February 15, 2026

Jaman stori inafurahsha je nin kiliendlea

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 18, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 6, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on May 26, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Saidi (Guest) on May 25, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Mollel (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on May 6, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on April 26, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on February 25, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Amani (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nora Kidata (Guest) on December 29, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on December 24, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Guest (Guest) on November 9, 2025

MM!

Joseph Njoroge (Guest) on December 11, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Habiba (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on December 2, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on November 25, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mutheu (Guest) on November 13, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Sokoine (Guest) on November 12, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 7, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 22, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

James Kimani (Guest) on September 1, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Warda (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jane Muthui (Guest) on July 21, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwanaisha (Guest) on July 15, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nora Lowassa (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Arifa (Guest) on May 26, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Shukuru (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on April 12, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on April 3, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on March 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on March 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on March 16, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on March 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on February 19, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Monica Lissu (Guest) on January 12, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Chris Okello (Guest) on January 9, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on December 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 1, 2022

Asante Ackyshine

Robert Okello (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mohamed (Guest) on November 16, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 1, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mariam Kawawa (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on September 16, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ali (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Linda Karimi (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on August 18, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Jane Muthui (Guest) on August 13, 2022

😊🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on August 6, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More