Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha
hamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi
asubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopa
wengine wanaweza kukupa⦠.njoo leo uniambie unataka
nini?
SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako ya kumuomba aje kwako
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Majid (Guest) on April 6, 2015
Nakupenda zaidi ya vile dunia inavyoweza kueleza. Wewe ni kila kitu nilichowahi kuhitaji, na najua kuwa upendo wetu utadumu milele ππ. Kila siku ninayokuwa nawe ni baraka, na sitaki kamwe kuacha kuwa na wewe. Nakupenda kwa namna isiyoelezeka, na najua kuwa tutakuwa na furaha na upendo wa milele ππ«.