Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kahina (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nassar (Guest) on May 23, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on April 28, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Farida (Guest) on April 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mariam Kawawa (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on March 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ruth Kibona (Guest) on February 12, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on January 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 1, 2016

Asante Ackyshine

Nora Kidata (Guest) on December 17, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on November 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on November 5, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hassan (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ann Awino (Guest) on August 9, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on July 25, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rabia (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Faith Kariuki (Guest) on June 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bernard Oduor (Guest) on June 23, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Josephine Nekesa (Guest) on June 14, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on June 13, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tabitha Okumu (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Mwalimu (Guest) on April 20, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More