Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on October 18, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 29, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on August 1, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rashid (Guest) on June 29, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Moses Kipkemboi (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on April 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 11, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on February 13, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on January 17, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on November 10, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sekela (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Athumani (Guest) on July 30, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mashaka (Guest) on July 17, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarah Karani (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Binti (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jane Muthui (Guest) on May 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jafari (Guest) on April 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on April 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More