Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Featured Image

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huku
akiwa hajui kama mkewe malaya,
Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondka
mkewe akaanza kuingiza wanaume kama
kawaida
Hawara 1;nakupenda
Mke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka Kabla
Mume wngu hajarudi.
Hawara 1;oke!
Basi picha likaanza wakati wanaendelea mara
mlango ukagongwa, akamwambia hawara mume
wangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mke
wa mvuvi akaelekea mlangon kumbe alikua
hawara 2.
mke wa mvuvi; aaahaa kumbe ni wewe nilijua
mume wangu bas njo haraka kabla mume wangu
hajarudi..
picha likaendelea huku wa darini akiona vyote,
mlangon kukagongwa
mke wa mvuvi; mume wangu hyo jifiche uvungun
jamaa akafanya kisha mke akajikoki kumpokea
mumewe,
mke wa mvvi; oooh! mume wngu pole umechoka
eeh leo umepata samaki mkubwa nashukuru sana
tulikua hatuna mboga
mvuvi;usinishukuru mimi mshukuru aliye juu.
hawara 1; sipo mwenyewe mwingine yupo
uvunguni… 

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Sumari (Guest) on March 10, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on March 6, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kassim (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rabia (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Nashon (Guest) on January 25, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on January 7, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Jamal (Guest) on January 3, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sekela (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Adhiambo (Guest) on November 20, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Malecela (Guest) on October 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

John Kamande (Guest) on October 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on August 27, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on August 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on July 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on June 27, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on June 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on June 13, 2016

😊🀣πŸ”₯

Moses Mwita (Guest) on May 30, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 17, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on May 2, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nahida (Guest) on May 1, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Malima (Guest) on March 31, 2016

Asante Ackyshine

John Kamande (Guest) on March 31, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

David Nyerere (Guest) on March 25, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 27, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on February 15, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Yahya (Guest) on February 7, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on February 6, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mariam (Guest) on December 27, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Yusra (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Monica Adhiambo (Guest) on November 8, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mbise (Guest) on November 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on September 20, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on September 14, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Raha (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Esther Nyambura (Guest) on August 30, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on August 10, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Betty Akinyi (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 4, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on July 4, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on June 18, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwagonda (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Kassim (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Yusuf (Guest) on May 7, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Monica Lissu (Guest) on April 28, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 26, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Related Posts

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More