Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 24, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ramadhan (Guest) on September 27, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

George Wanjala (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sumaya (Guest) on June 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

James Kawawa (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Okello (Guest) on February 22, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Bahati (Guest) on February 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Agnes Lowassa (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Paul Ndomba (Guest) on January 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on December 13, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 23, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on October 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on August 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mjaka (Guest) on August 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Kabura (Guest) on June 30, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Arifa (Guest) on June 10, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Zulekha (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Catherine Naliaka (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on May 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Neema (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Christopher Oloo (Guest) on April 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Faiza (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 28, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on February 22, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Aziza (Guest) on February 17, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Simon Kiprono (Guest) on February 4, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 12, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 4, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on November 19, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Philip Nyaga (Guest) on November 17, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Ndungu (Guest) on November 8, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Wambui (Guest) on October 15, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on September 14, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on September 13, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on September 8, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on September 8, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on July 6, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on June 20, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on May 19, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Karani (Guest) on April 15, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 14, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on April 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More