Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on June 8, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Philip Nyaga (Guest) on May 16, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 16, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Were (Guest) on May 15, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Martin Otieno (Guest) on March 17, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on March 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on March 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on January 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 4, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Habiba (Guest) on December 19, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on November 15, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on November 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on October 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 26, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Amani (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Shabani (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mrope (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on May 22, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mutheu (Guest) on May 21, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on May 16, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on May 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Irene Akoth (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Jane Muthui (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Juma (Guest) on April 5, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samuel Were (Guest) on March 2, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 26, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Asha (Guest) on February 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Lissu (Guest) on January 15, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 3, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Nancy Komba (Guest) on November 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on November 14, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on October 30, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on October 27, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

George Mallya (Guest) on October 18, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on September 7, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

George Wanjala (Guest) on August 27, 2015

🀣πŸ”₯😊

Jane Muthoni (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on August 14, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Zakia (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 24, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mohamed (Guest) on July 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Hellen Nduta (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Rahma (Guest) on May 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 28, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Nahida (Guest) on May 9, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

James Mduma (Guest) on April 17, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Violet Mumo (Guest) on April 11, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Related Posts

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More