Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Ochieng (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Minja (Guest) on June 1, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Nyerere (Guest) on May 20, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Athumani (Guest) on May 7, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Amani (Guest) on April 28, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Benjamin Kibicho (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on March 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on February 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on January 28, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Shamsa (Guest) on January 28, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Lowassa (Guest) on December 16, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on November 19, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Emily Chepngeno (Guest) on November 6, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

George Mallya (Guest) on November 1, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nora Kidata (Guest) on October 30, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on October 24, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Jane Muthoni (Guest) on October 13, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 16, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on September 13, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on August 21, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Mligo (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on June 13, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Nyerere (Guest) on June 7, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Maulid (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khamis (Guest) on May 9, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on May 1, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

John Mushi (Guest) on March 30, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joseph Kitine (Guest) on March 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on February 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on February 21, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on December 18, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

James Mduma (Guest) on September 21, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on September 21, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 16, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on August 18, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on July 18, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jamila (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Sokoine (Guest) on July 8, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on June 10, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on June 8, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on May 10, 2015

😊🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on May 7, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on April 10, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More