Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"





"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"





Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."





Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."





"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.





Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"





Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….





Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.





Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthui (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on April 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on April 17, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lucy Mahiga (Guest) on March 7, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on February 7, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on February 7, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rabia (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Maida (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Maida (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamila (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on November 25, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on September 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on September 14, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Baraka (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on September 3, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 7, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Josephine Nduta (Guest) on July 6, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Kawawa (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on June 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on May 31, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on May 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on May 19, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nassar (Guest) on May 13, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 12, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on May 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on March 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on February 7, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Frank Macha (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Abubakari (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on November 26, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on November 16, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Kazija (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

George Tenga (Guest) on August 23, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Richard Mulwa (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Husna (Guest) on July 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on June 23, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Grace Mushi (Guest) on June 18, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mgeni (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Robert Okello (Guest) on May 6, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Kikwete (Guest) on April 25, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Kawawa (Guest) on April 25, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kevin Maina (Guest) on April 20, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More