Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:





MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Daudi (Guest) on September 25, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwajuma (Guest) on July 16, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthoni (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Stephen Amollo (Guest) on May 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on May 3, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Shabani (Guest) on March 27, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chum (Guest) on February 19, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on February 13, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ahmed (Guest) on January 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mchome (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kawawa (Guest) on November 28, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mustafa (Guest) on November 12, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Yahya (Guest) on September 17, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 15, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mariam Kawawa (Guest) on June 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Amina (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Lowassa (Guest) on June 9, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on May 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 30, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 23, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 18, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 7, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 7, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 15, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on February 20, 2016

Asante Ackyshine

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on December 27, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Wande (Guest) on December 20, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on November 21, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Ndungu (Guest) on November 17, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on October 17, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mashaka (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on September 10, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on September 8, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Bernard Oduor (Guest) on August 17, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 13, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Tabitha Okumu (Guest) on July 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on July 15, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 6, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on June 25, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 20, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Yusra (Guest) on May 28, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on April 4, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More