Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rubea (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ibrahim (Guest) on March 15, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on February 11, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Sumari (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 17, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on January 1, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on December 25, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anna Mahiga (Guest) on December 11, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on December 8, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on December 1, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on November 28, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on November 21, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joyce Nkya (Guest) on October 1, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on August 20, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on August 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on July 13, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Linda Karimi (Guest) on May 19, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mariam Hassan (Guest) on May 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on April 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on April 4, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on April 1, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Edward Chepkoech (Guest) on March 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 14, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on February 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Mwinuka (Guest) on February 4, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 30, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mushi (Guest) on December 5, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on November 25, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Yusra (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Omar (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Paul Kamau (Guest) on October 29, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on October 27, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on October 23, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on October 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mtumwa (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on September 25, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Daniel Obura (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on July 25, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daudi (Guest) on June 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Latifa (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Mwalimu (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 24, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on April 19, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Related Posts

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More