Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?

Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Khamis (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Khatib (Guest) on December 14, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on November 19, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on November 13, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on November 8, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Hashim (Guest) on October 16, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 4, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on September 20, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Monica Lissu (Guest) on August 12, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on August 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sultan (Guest) on July 31, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mtumwa (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on July 5, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on June 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on June 2, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on May 6, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on April 19, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ahmed (Guest) on March 3, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Kawawa (Guest) on February 22, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Leila (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜† Kali sana!

David Kawawa (Guest) on January 24, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on November 29, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on November 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on August 20, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Simon Kiprono (Guest) on July 27, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nahida (Guest) on July 1, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on June 27, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Malima (Guest) on May 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on May 13, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on May 5, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 20, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Saidi (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samuel Were (Guest) on January 23, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on January 4, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on December 16, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on November 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on October 29, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lucy Wangui (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mariam (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Fadhili (Guest) on September 22, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Kenneth Murithi (Guest) on August 16, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on July 26, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on May 30, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Robert Ndunguru (Guest) on May 22, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More