Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma barua
Ikisema yan.mwanangu tumapata shida maana shamba halijalimwa na jatujii litalimwaje na msimu ndio huo nataman.ungekuwepo ningepata msaada wa kulimiwa hili shamba

Yule kijana alijibu tafadhal baba usilime hilo shamba maana pesa zote nilizo ibwa nimeficha.huko

Kwakuwa barua zote laxima zipite kwa mkuu wa gereza ndio xiende kwa muhusika kesho yake mzee alikuwa shamba lote limelimwaa na polisi

Akatuma ujumbe tena yule kijana
Nashukulu umepata msaada sasa nazan unaweza ukaendelea kupanda mazao shamban.kwetuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Kendi (Guest) on August 3, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hekima (Guest) on July 5, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Irene Makena (Guest) on June 26, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Kiwanga (Guest) on June 18, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on June 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on May 30, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Agnes Sumaye (Guest) on May 18, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 7, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Wanyama (Guest) on May 2, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 21, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on March 31, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Miriam Mchome (Guest) on March 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on February 21, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on February 15, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Njeru (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Daniel Obura (Guest) on January 15, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 15, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on December 30, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nancy Kawawa (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on November 1, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on September 30, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 24, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 30, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Amani (Guest) on August 18, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on August 15, 2016

Asante Ackyshine

Rose Amukowa (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mrope (Guest) on July 7, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on July 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on June 19, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Kheri (Guest) on June 13, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ibrahim (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Josephine Nekesa (Guest) on April 19, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on April 11, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 10, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Martin Otieno (Guest) on December 15, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 9, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Janet Mbithe (Guest) on November 10, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on November 3, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Victor Kamau (Guest) on October 31, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mgeni (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kabura (Guest) on September 27, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mchuma (Guest) on September 11, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mchawi (Guest) on September 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 5, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kawawa (Guest) on August 27, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Janet Sumari (Guest) on July 28, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Kawawa (Guest) on June 29, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Janet Wambura (Guest) on June 26, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Irene Akoth (Guest) on May 24, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on May 21, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on April 14, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Khadija (Guest) on April 13, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More