Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Ndomba (Guest) on May 20, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on May 3, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 1, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on April 29, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on April 21, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on April 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Kamande (Guest) on April 8, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on March 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zainab (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Rose Amukowa (Guest) on March 12, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Brian Karanja (Guest) on February 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mgeni (Guest) on December 27, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 21, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on December 19, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Minja (Guest) on November 23, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on November 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Charles Mboje (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on October 23, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Mushi (Guest) on October 4, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kazija (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Susan Wangari (Guest) on August 16, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on July 21, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

George Wanjala (Guest) on June 30, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Ochieng (Guest) on June 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on June 23, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jamila (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Mugendi (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mohamed (Guest) on May 13, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Christopher Oloo (Guest) on April 16, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on March 18, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on March 14, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 1, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jamal (Guest) on February 10, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Mtangi (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Rukia (Guest) on December 24, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Mligo (Guest) on December 19, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 5, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mary Kidata (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 5, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Grace Njuguna (Guest) on October 14, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on October 4, 2015

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on September 28, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on August 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on August 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on August 5, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alex Nakitare (Guest) on July 14, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on May 22, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Tibaijuka (Guest) on May 21, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Margaret Mahiga (Guest) on May 17, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Linda Karimi (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Chiku (Guest) on April 6, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Related Posts

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More