Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Halimah (Guest) on November 24, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Majid (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Agnes Njeri (Guest) on October 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on September 15, 2017

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on August 28, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on July 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on July 2, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Faith Kariuki (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mazrui (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Wafula (Guest) on March 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on January 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on January 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 16, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rose Waithera (Guest) on September 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on September 22, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on September 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Hawa (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on August 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on August 6, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nduta (Guest) on June 15, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on June 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Malela (Guest) on April 20, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on April 8, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mbise (Guest) on March 26, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on March 4, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sarah Karani (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on January 2, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on December 20, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on December 19, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on December 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Asha (Guest) on November 10, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Mwalimu (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on November 1, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwafirika (Guest) on October 26, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Ahmed (Guest) on October 22, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Sarah Karani (Guest) on August 26, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on August 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on August 6, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Michael Onyango (Guest) on July 13, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Jafari (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Njeru (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More