Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Wanjiku (Guest) on March 22, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Kawawa (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shukuru (Guest) on January 27, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 22, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 27, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on December 20, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Asha (Guest) on December 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on November 24, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Issack (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Mwalimu (Guest) on October 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 21, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Anna Mchome (Guest) on September 18, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Wangui (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on August 16, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on July 28, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on July 10, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Kimani (Guest) on July 4, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Wilson Ombati (Guest) on May 12, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Grace Majaliwa (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Wangui (Guest) on April 24, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 20, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Grace Njuguna (Guest) on March 29, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on February 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on February 6, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on February 2, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Farida (Guest) on January 21, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on November 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on November 21, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on November 15, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on November 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 30, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 14, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Masika (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on August 31, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on August 29, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 15, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 6, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on June 30, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on April 25, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on April 14, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More