Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Nyerere (Guest) on September 4, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on August 27, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on August 24, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on July 23, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on July 12, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on June 23, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on June 20, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Achieng (Guest) on June 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdillah (Guest) on May 27, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on May 14, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Malisa (Guest) on May 3, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Grace Mligo (Guest) on April 27, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on April 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Wande (Guest) on March 16, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on January 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 19, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mjaka (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ann Awino (Guest) on December 29, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Agnes Lowassa (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on October 5, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 18, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mercy Atieno (Guest) on September 9, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Leila (Guest) on September 6, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Michael Mboya (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mazrui (Guest) on August 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samson Mahiga (Guest) on August 25, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 24, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Alice Jebet (Guest) on July 26, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Samson Tibaijuka (Guest) on July 23, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Josephine Nduta (Guest) on June 13, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alex Nyamweya (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on May 27, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on May 11, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mrope (Guest) on May 8, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Sumaye (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nancy Kabura (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Susan Wangari (Guest) on January 24, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Kijakazi (Guest) on December 22, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hellen Nduta (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on December 11, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on October 23, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 2, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on September 13, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Nyambura (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Juma (Guest) on August 30, 2016

Asante Ackyshine

Victor Kimario (Guest) on August 28, 2016

🀣πŸ”₯😊

Frank Macha (Guest) on August 14, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Daniel Obura (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on July 3, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Hassan (Guest) on June 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Related Posts

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More