Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kijakazi (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jacob Kiplangat (Guest) on October 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 9, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on October 3, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on September 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on September 1, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on July 12, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nashon (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Robert Okello (Guest) on May 31, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 18, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 21, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on January 30, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on January 25, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chum (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on November 28, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Hassan (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Mchawi (Guest) on November 7, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on October 31, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nora Lowassa (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 8, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on July 16, 2018

Asante Ackyshine

Francis Mrope (Guest) on July 4, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on July 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 19, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 9, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 29, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on April 24, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mushi (Guest) on April 9, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on March 10, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on March 3, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Mwanaidha (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Muslima (Guest) on November 25, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Hekima (Guest) on November 21, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joy Wacera (Guest) on November 19, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zawadi (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Susan Wangari (Guest) on October 24, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on October 19, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on October 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Malisa (Guest) on September 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on September 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Richard Mulwa (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on July 22, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More