Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Featured Image

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia Mlangoni kwangu ndio wanacheza hapo. Kila nikitoka wananisalimia. Mama yao ndio kanimaliza kabisa nimetoka akaniambia

"Kumbe wewe ni Mpishi mzuri, Hongera"

Imebidi nisirudi nyumbani maana wale watoto wanaweza kuingia ndani kabisa na pilau hakuna.

#UTOTO RAHA πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hashim (Guest) on October 28, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kevin Maina (Guest) on October 5, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mwanakhamis (Guest) on September 14, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on September 12, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on August 7, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on August 2, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Khalifa (Guest) on July 12, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Arifa (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on June 4, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Chris Okello (Guest) on May 11, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 1, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on April 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on February 19, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on January 29, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on January 1, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Henry Mollel (Guest) on December 18, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on November 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Njeri (Guest) on October 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on August 30, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elijah Mutua (Guest) on June 24, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on May 27, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on May 25, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on May 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Malima (Guest) on April 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mchome (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on March 22, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Irene Makena (Guest) on March 4, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on March 2, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issack (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Kazija (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 15, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mwanakhamis (Guest) on December 30, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Kendi (Guest) on December 2, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on November 30, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 29, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Daudi (Guest) on November 22, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mary Kendi (Guest) on October 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on September 30, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on September 30, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on September 21, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lydia Mahiga (Guest) on August 19, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mary Kendi (Guest) on August 15, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Carol Nyakio (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on August 10, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Tambwe (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Zubeida (Guest) on July 28, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Daniel Obura (Guest) on July 26, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mashaka (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mercy Atieno (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Janet Sumari (Guest) on May 18, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Khalifa (Guest) on April 26, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on March 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More