Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Featured Image

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFREND»»kwanin hutaki kujibu sms yangu,au huna mda»??

BOYFRENDΒ»>najitahid kukujibu lakin mtandao unasumbua,imefika??(SENDING FAILED)

GARLFREND»»kama hunipend bhas usinijbu,kama unanipenda kwel bhas nijibu

BOYFREND»»i love you (SENDING FAILED)
GALFREND»»do you lov me????

BOYFREND»»i lov you baby(SENDING FAILED)

GARLFREND»»usiongee na mimi tenaaaaa

BOYFREND»»i love you sweetieeee(SENDING FAILED)

GARLFREND»»unataka mim na wew tuachaneee????

BOYFREND»»nshachoka mie na huu upUmbavu,shenz (MESSAGE SENT)

πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘†πŸ‘†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on May 13, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kazija (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mhina (Guest) on April 21, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

James Malima (Guest) on April 12, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Stephen Kangethe (Guest) on March 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on February 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on January 14, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joseph Mallya (Guest) on December 19, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on December 13, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jacob Kiplangat (Guest) on December 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on December 5, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Leila (Guest) on November 24, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Ochieng (Guest) on November 17, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on October 5, 2018

Asante Ackyshine

Simon Kiprono (Guest) on October 5, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mwanaidi (Guest) on September 30, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Andrew Mahiga (Guest) on September 19, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Chum (Guest) on August 29, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Diana Mumbua (Guest) on August 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on July 1, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on June 20, 2018

🀣πŸ”₯😊

Janet Mwikali (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Shamim (Guest) on May 26, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Lissu (Guest) on May 9, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mtumwa (Guest) on May 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mchome (Guest) on May 3, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 30, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Faiza (Guest) on April 3, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samuel Were (Guest) on March 13, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 19, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kabura (Guest) on February 18, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on February 12, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Azima (Guest) on January 28, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on January 5, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Robert Okello (Guest) on November 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mtumwa (Guest) on November 8, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Aoko (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

George Mallya (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nancy Kawawa (Guest) on October 31, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Tabitha Okumu (Guest) on October 28, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on October 21, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on September 21, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

James Mduma (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on September 7, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Arifa (Guest) on September 4, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hawa (Guest) on August 20, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on August 15, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on July 24, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Fredrick Mutiso (Guest) on July 18, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Habiba (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Halimah (Guest) on June 4, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nora Kidata (Guest) on May 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on April 25, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nora Lowassa (Guest) on March 22, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More