Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shabani (Guest) on August 18, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jaffar (Guest) on July 19, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 13, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Malecela (Guest) on July 11, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on June 16, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Henry Sokoine (Guest) on June 10, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on June 3, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mwikali (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Nyerere (Guest) on May 14, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on April 20, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Rahim (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on April 14, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on March 2, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Kawawa (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on November 25, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on November 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on November 8, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rubea (Guest) on October 23, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Agnes Njeri (Guest) on October 19, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on October 5, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on September 20, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on September 13, 2018

🀣πŸ”₯😊

Alex Nyamweya (Guest) on September 11, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Halima (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zakia (Guest) on August 15, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on August 13, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on August 13, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on July 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Anthony Kariuki (Guest) on July 8, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwachumu (Guest) on May 22, 2018

Asante Ackyshine

Richard Mulwa (Guest) on May 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on May 20, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on April 11, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Leila (Guest) on March 25, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Athumani (Guest) on February 17, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on February 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on February 10, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on January 28, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on January 27, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kabura (Guest) on January 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Ndungu (Guest) on November 29, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on November 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Sokoine (Guest) on October 24, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 19, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More