Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?" Trafki akamwmbia, kwanin ucngeenda upande ambao una watu wachache ili uokoe wengi? Jamaa akajibu, "nilifanya hivo, huku kushoto alikua m1 na kulia walkua wa4, nikamfuata uyu wa kushoto et akakambilia upande wakulia akazani cjamwona, nikamfata huko huko alipoenda, nikampa kitu mbwa yule"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mchome (Guest) on December 22, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on December 18, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Faiza (Guest) on December 10, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ruth Mtangi (Guest) on December 2, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on November 1, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on October 31, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Faiza (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ann Wambui (Guest) on August 16, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jane Malecela (Guest) on July 29, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on July 26, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Salima (Guest) on July 7, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Majaliwa (Guest) on May 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on April 21, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Binti (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on March 31, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Masika (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Sultan (Guest) on February 20, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Francis Mrope (Guest) on February 11, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Hekima (Guest) on January 25, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Malima (Guest) on January 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on January 17, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on December 16, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rubea (Guest) on December 6, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mercy Atieno (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on October 22, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on October 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on September 28, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Patrick Mutua (Guest) on August 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Michael Mboya (Guest) on August 4, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on July 29, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jackson Makori (Guest) on July 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on July 21, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Fadhila (Guest) on June 25, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Anna Kibwana (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on June 2, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kahina (Guest) on June 1, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Carol Nyakio (Guest) on April 9, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on April 5, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on March 31, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salima (Guest) on March 16, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nora Kidata (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on February 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Peter Tibaijuka (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joyce Aoko (Guest) on January 18, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edith Cherotich (Guest) on December 28, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anthony Kariuki (Guest) on December 1, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Bakari (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on November 10, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Christopher Oloo (Guest) on November 2, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Yusra (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Benjamin Masanja (Guest) on October 17, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on October 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on September 23, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on September 15, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Related Posts

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More