Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Featured Image

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo:
Manka 35,000
Marieta 20,000
Kekuu 30,000





Kitime 15,000
Kinabo 10,000
TOTAL 110,000/=
MASSAWE akaicheki akasema "Wote nitawalipia lakini huyo "TOTAL" Yesuu simlipii.
Kwansa anamiliki sheli kibao sa mafuta hapa bongo. Shensi taip ! Na amekunywa nyingi kuliko wote alipe mwenyewe…


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Kamau (Guest) on May 26, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanais (Guest) on May 16, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Martin Otieno (Guest) on May 15, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Selemani (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Catherine Naliaka (Guest) on April 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mrope (Guest) on April 21, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mashaka (Guest) on April 19, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwakisu (Guest) on April 5, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on April 4, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sultan (Guest) on March 12, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on March 11, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nassar (Guest) on March 3, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on February 22, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Makame (Guest) on January 25, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Majaliwa (Guest) on January 25, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on December 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on December 21, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2018

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on October 18, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on October 12, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Wanjiru (Guest) on September 1, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Maimuna (Guest) on August 9, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Daniel Obura (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Mtei (Guest) on June 7, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on May 29, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 15, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Diana Mumbua (Guest) on April 11, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on March 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

James Kawawa (Guest) on March 9, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Charles Mboje (Guest) on March 4, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Raha (Guest) on February 9, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jackson Makori (Guest) on January 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Linda Karimi (Guest) on January 2, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

John Kamande (Guest) on December 20, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Lowassa (Guest) on December 10, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on November 4, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 11, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on September 6, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Saidi (Guest) on August 24, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mustafa (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Linda Karimi (Guest) on July 31, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on July 24, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on July 9, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Akech (Guest) on July 4, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mjaka (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on June 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Musyoka (Guest) on June 24, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More