Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:





MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on December 29, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Kibwana (Guest) on December 17, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 2, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on November 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 21, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rashid (Guest) on October 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Wambui (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on October 9, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on October 2, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on September 24, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Masika (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on July 21, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Hashim (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Amani (Guest) on June 24, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on May 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

David Nyerere (Guest) on April 26, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 11, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ahmed (Guest) on April 7, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on March 3, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rashid (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Safiya (Guest) on February 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Issack (Guest) on January 28, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Francis Njeru (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on November 30, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on November 22, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Makame (Guest) on November 9, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 20, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Ann Awino (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 25, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on July 19, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on July 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on June 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joyce Nkya (Guest) on June 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 4, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rehema (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ann Awino (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Kibona (Guest) on May 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 20, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on April 13, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on March 25, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Grace Wairimu (Guest) on February 19, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on February 19, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chris Okello (Guest) on January 30, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on January 13, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Betty Kimaro (Guest) on November 5, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on October 23, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on October 1, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Related Posts

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More