Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Sumari (Guest) on January 10, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 3, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on November 28, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on November 17, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on November 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on September 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on July 27, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 19, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Khadija (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Nkya (Guest) on May 22, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kikwete (Guest) on March 22, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Miriam Mchome (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on February 28, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarah Karani (Guest) on February 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on February 1, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hellen Nduta (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Martin Otieno (Guest) on December 1, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Mrope (Guest) on November 20, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 16, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mohamed (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on September 25, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Arifa (Guest) on August 26, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Sharifa (Guest) on August 16, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 9, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Raha (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Minja (Guest) on July 17, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mustafa (Guest) on June 9, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on May 17, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on May 7, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on April 29, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

James Kawawa (Guest) on April 24, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on April 7, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on February 13, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ruth Kibona (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 25, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on January 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 20, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on January 17, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Nyerere (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on December 12, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on December 4, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Kawawa (Guest) on December 1, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Mwalimu (Guest) on November 16, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on November 14, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rahim (Guest) on October 27, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Tabitha Okumu (Guest) on October 24, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on October 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More