Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on October 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ali (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Wilson Ombati (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Hellen Nduta (Guest) on August 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on August 25, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on June 28, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on June 22, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

John Lissu (Guest) on May 19, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 29, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Abubakari (Guest) on April 23, 2019

Asante Ackyshine

Emily Chepngeno (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on March 10, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on February 21, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on February 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Chris Okello (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on July 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on June 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Martin Otieno (Guest) on June 1, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Hellen Nduta (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on December 24, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anthony Kariuki (Guest) on November 8, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on September 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Susan Wangari (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on August 8, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 19, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on May 30, 2017

😊🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on May 26, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jafari (Guest) on April 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 18, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More