Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwajuma (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Simon Kiprono (Guest) on November 6, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on November 2, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on October 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

James Malima (Guest) on September 29, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on August 8, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Kawawa (Guest) on August 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 26, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Mwikali (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 27, 2020

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on May 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2020

😊🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Sharifa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Wafula (Guest) on February 14, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samuel Were (Guest) on October 28, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Wanjala (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on September 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

John Malisa (Guest) on July 21, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on June 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on March 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wande (Guest) on February 16, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Amani (Guest) on February 1, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on January 23, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nashon (Guest) on January 21, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Sarah Mbise (Guest) on January 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on November 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Sumari (Guest) on August 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 27, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Related Posts

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More