Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Kangethe (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on April 5, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Daniel Obura (Guest) on February 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Chris Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 6, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on December 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on December 14, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on October 23, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on October 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Kamande (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Susan Wangari (Guest) on September 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on July 26, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on June 1, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shukuru (Guest) on May 25, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fikiri (Guest) on April 8, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

George Mallya (Guest) on March 5, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rubea (Guest) on February 25, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zubeida (Guest) on February 9, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Mushi (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Diana Mallya (Guest) on December 9, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Abdullah (Guest) on December 7, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on October 21, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 20, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Christopher Oloo (Guest) on September 19, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on August 7, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 5, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Bakari (Guest) on June 19, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on June 14, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Ndomba (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Omari (Guest) on April 19, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Ochieng (Guest) on March 13, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Peter Otieno (Guest) on February 20, 2018

Asante Ackyshine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 5, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 2, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Hassan (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Ndunguru (Guest) on December 16, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Shani (Guest) on November 23, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Mrema (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Chacha (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More