Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Featured Image

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wakati niponatafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.6,000/="

Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.12,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA.

SIPENDAGI UJINGA MIMI NA BEI ZA TEKSI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Nkya (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on November 3, 2019

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on October 5, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Linda Karimi (Guest) on August 8, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Hashim (Guest) on July 9, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Omar (Guest) on July 7, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Wanjala (Guest) on June 10, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nyota (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on April 21, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on March 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Sekela (Guest) on March 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mgeni (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rahma (Guest) on March 8, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on February 28, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Sumaye (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Ann Awino (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Anyango (Guest) on December 5, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 26, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on October 14, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

George Ndungu (Guest) on September 22, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on September 6, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mwagonda (Guest) on August 4, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Arifa (Guest) on August 3, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on July 7, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on July 4, 2018

Asante Ackyshine

Alice Mwikali (Guest) on June 23, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on June 17, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khatib (Guest) on May 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Ndoto (Guest) on April 26, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mwanakhamis (Guest) on April 21, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Chum (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Michael Onyango (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Margaret Anyango (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on October 28, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on October 21, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on October 11, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mbithe (Guest) on October 2, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on August 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on August 11, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on July 22, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on July 5, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mchome (Guest) on June 5, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on March 30, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Musyoka (Guest) on March 16, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on January 30, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on January 3, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More