Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nchi (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Latifa (Guest) on February 29, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on February 22, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 15, 2020

😊🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on January 27, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Nyerere (Guest) on January 4, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on November 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on November 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 16, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on October 9, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sumaya (Guest) on August 28, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nchi (Guest) on August 27, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on June 27, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on June 26, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Mduma (Guest) on June 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Hellen Nduta (Guest) on June 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on June 18, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 30, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

George Wanjala (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on May 10, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Mboya (Guest) on April 30, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 18, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on April 9, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Abdillah (Guest) on March 25, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mwagonda (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on March 10, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Kibwana (Guest) on March 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 2, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on January 12, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on November 20, 2018

Asante Ackyshine

James Malima (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Christopher Oloo (Guest) on September 30, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Paul Kamau (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on August 16, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rubea (Guest) on June 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on June 4, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Malima (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Tenga (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 3, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mohamed (Guest) on April 14, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Mbithe (Guest) on April 11, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hashim (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on February 24, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Charles Wafula (Guest) on January 30, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mchawi (Guest) on January 22, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mgeni (Guest) on December 13, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Lowassa (Guest) on December 5, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More