Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nchi (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Latifa (Guest) on February 29, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on February 22, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 15, 2020

😊🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on January 27, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Nyerere (Guest) on January 4, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on November 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on November 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 16, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on October 9, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sumaya (Guest) on August 28, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nchi (Guest) on August 27, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on June 27, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on June 26, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Mduma (Guest) on June 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Hellen Nduta (Guest) on June 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on June 18, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 30, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

George Wanjala (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on May 10, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Mboya (Guest) on April 30, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 18, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on April 9, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Abdillah (Guest) on March 25, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mwagonda (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on March 10, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Kibwana (Guest) on March 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 2, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on January 12, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on November 20, 2018

Asante Ackyshine

James Malima (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Christopher Oloo (Guest) on September 30, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Paul Kamau (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on August 16, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rubea (Guest) on June 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on June 4, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Malima (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Tenga (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 3, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mohamed (Guest) on April 14, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Mbithe (Guest) on April 11, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hashim (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on February 24, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Charles Wafula (Guest) on January 30, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mchawi (Guest) on January 22, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mgeni (Guest) on December 13, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Lowassa (Guest) on December 5, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More