Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Simu ilivyozua utata

Featured Image

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtoto…Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirud atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarud,kufika mlangon tu kapokewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vzur mwiko wa pua) Mama..Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje?? Mtoto..Alisema mteja unaempigia hapatikan kwa sasa…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Akoth (Guest) on February 3, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

George Tenga (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on January 11, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on December 2, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Latifa (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Azima (Guest) on November 20, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alice Jebet (Guest) on November 15, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on October 18, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on September 25, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on September 8, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on August 4, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Mallya (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 14, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Catherine Naliaka (Guest) on April 27, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on March 23, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on February 11, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on February 4, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on January 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on January 6, 2019

Asante Ackyshine

Abubakari (Guest) on December 29, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Kikwete (Guest) on December 28, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on December 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on November 12, 2018

🀣πŸ”₯😊

Ruth Wanjiku (Guest) on November 7, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Nyambura (Guest) on October 30, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Irene Akoth (Guest) on October 19, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on October 4, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Wanjala (Guest) on October 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Kimario (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on September 8, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Salum (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 29, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kazija (Guest) on August 25, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Khadija (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 30, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chiku (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Furaha (Guest) on July 22, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on May 15, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 11, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 2, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on April 23, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Kidata (Guest) on April 22, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on April 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on March 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on March 21, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Malima (Guest) on February 15, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on February 10, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Chum (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nyota (Guest) on January 4, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Malima (Guest) on November 24, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More