Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa kwanza na wa pili.
04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu wote hawana raha.
05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa shule wanakuwa waganga wa kienyeji, wote hapo juu watamtafuta huyu, pale mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸƒπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Kidata (Guest) on May 28, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kiza (Guest) on May 3, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mariam Hassan (Guest) on April 28, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 17, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on April 3, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on March 24, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on March 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidha (Guest) on February 11, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 31, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on December 23, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Mduma (Guest) on December 18, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on November 27, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on November 24, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on November 11, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on November 8, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abubakar (Guest) on November 4, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Andrew Mahiga (Guest) on October 15, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on October 10, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on October 1, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on September 10, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amani (Guest) on September 7, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Wilson Ombati (Guest) on August 27, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Elizabeth Malima (Guest) on August 26, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Njoroge (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nashon (Guest) on July 30, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on July 24, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Nkya (Guest) on July 10, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Agnes Sumaye (Guest) on June 25, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on May 26, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Maulid (Guest) on May 20, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Robert Ndunguru (Guest) on May 3, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Benjamin Masanja (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on April 24, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 18, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

James Kawawa (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on March 8, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nyamweya (Guest) on February 22, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on February 8, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on February 8, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

James Kimani (Guest) on December 18, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on December 7, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ann Awino (Guest) on November 10, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on November 6, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Salima (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Sumari (Guest) on August 27, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Makame (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Paul Kamau (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on July 20, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mercy Atieno (Guest) on June 27, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on May 27, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mhina (Guest) on May 9, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Related Posts

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More