Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on October 30, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Henry Sokoine (Guest) on October 23, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on October 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 14, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on September 10, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Mushi (Guest) on August 27, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mashaka (Guest) on August 10, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

George Tenga (Guest) on July 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on July 26, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

James Kimani (Guest) on June 14, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nassor (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Achieng (Guest) on May 4, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Maimuna (Guest) on April 14, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 26, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on March 16, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on March 6, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chum (Guest) on February 15, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Chris Okello (Guest) on January 6, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jamal (Guest) on January 1, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Christopher Oloo (Guest) on December 16, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on December 13, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anna Kibwana (Guest) on September 20, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Kazija (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joseph Njoroge (Guest) on August 27, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kahina (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sharon Kibiru (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on July 26, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on July 18, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sarah Achieng (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Raha (Guest) on June 22, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Monica Adhiambo (Guest) on April 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on April 14, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Brian Karanja (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Wafula (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Samuel Omondi (Guest) on February 3, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on January 21, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on January 15, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on December 29, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on December 24, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on December 23, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on November 12, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on November 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mwikali (Guest) on November 6, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on October 27, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on October 25, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hashim (Guest) on October 12, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on October 9, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on October 5, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on September 28, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on September 22, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Athumani (Guest) on September 21, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mary Kidata (Guest) on September 3, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on September 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More