Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on September 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on September 13, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on August 21, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Zakia (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on June 24, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on June 20, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kiza (Guest) on May 26, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Kendi (Guest) on May 19, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on May 8, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Selemani (Guest) on April 17, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sultan (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on April 8, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Tabitha Okumu (Guest) on March 22, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on March 17, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on March 15, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kevin Maina (Guest) on February 12, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

John Mushi (Guest) on February 1, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 20, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Rahim (Guest) on November 2, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 1, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on October 13, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on September 17, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nahida (Guest) on August 2, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Zuhura (Guest) on August 1, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 28, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on July 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Jebet (Guest) on May 20, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on May 15, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kassim (Guest) on May 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on April 30, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 7, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on February 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on January 9, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on December 27, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on November 28, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on November 24, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on October 7, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 3, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on September 4, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Lowassa (Guest) on August 24, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Robert Okello (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 27, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Saidi (Guest) on July 26, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Victor Sokoine (Guest) on July 12, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Related Posts

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More