Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on September 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on September 13, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on August 21, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Zakia (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on June 24, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on June 20, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kiza (Guest) on May 26, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Kendi (Guest) on May 19, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on May 8, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Selemani (Guest) on April 17, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sultan (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on April 8, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Tabitha Okumu (Guest) on March 22, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on March 17, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on March 15, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kevin Maina (Guest) on February 12, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

John Mushi (Guest) on February 1, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 20, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Rahim (Guest) on November 2, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 1, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on October 13, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on September 17, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nahida (Guest) on August 2, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Zuhura (Guest) on August 1, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 28, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on July 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Jebet (Guest) on May 20, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on May 15, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kassim (Guest) on May 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on April 30, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 7, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on February 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on January 9, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on December 27, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on November 28, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on November 24, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on October 7, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 3, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on September 4, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Lowassa (Guest) on August 24, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Robert Okello (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 27, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Saidi (Guest) on July 26, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Victor Sokoine (Guest) on July 12, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Related Posts

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo