Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.

Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",

Wakapiga magoti…:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emen…

MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emen…

MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimya…

MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: …….!!

MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.

Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Ndomba (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on January 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on January 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 3, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nancy Komba (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on December 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on November 15, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 5, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on October 24, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on October 16, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on October 13, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Kawawa (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Azima (Guest) on August 20, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Mduma (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 19, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mrope (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on June 4, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 28, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on April 27, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on April 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 21, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on April 12, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on March 3, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Malela (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 2, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Salum (Guest) on January 29, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Yusra (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on January 11, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on December 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mwajuma (Guest) on December 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on December 10, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Nkya (Guest) on November 24, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on November 5, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on October 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Halima (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Safiya (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mchuma (Guest) on September 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Christopher Oloo (Guest) on September 6, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on September 3, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on August 12, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on August 10, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Azima (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on June 12, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 6, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on May 30, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on May 29, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nahida (Guest) on May 16, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mary Njeri (Guest) on April 21, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More