Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Neema (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 30, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 10, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kahina (Guest) on October 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Amina (Guest) on October 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

George Ndungu (Guest) on September 28, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamim (Guest) on September 26, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mchuma (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Mrope (Guest) on September 22, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Sofia (Guest) on September 22, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Zakaria (Guest) on September 19, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Khamis (Guest) on August 28, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Jebet (Guest) on August 26, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samson Mahiga (Guest) on August 26, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maida (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mashaka (Guest) on August 2, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Nchi (Guest) on July 11, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on June 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Sokoine (Guest) on June 10, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Aziza (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kahina (Guest) on March 14, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on March 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on March 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 22, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on February 10, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on February 3, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on January 4, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 28, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Kidata (Guest) on December 9, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Baridi (Guest) on October 9, 2017

Asante Ackyshine

Zulekha (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on July 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Malima (Guest) on June 29, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on June 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mjaka (Guest) on June 6, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Majaliwa (Guest) on May 23, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mariam (Guest) on April 7, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More