Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 28, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Mchome (Guest) on April 21, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Latifa (Guest) on March 20, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Mboje (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mwikali (Guest) on February 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 14, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Leila (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarah Mbise (Guest) on January 14, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on December 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mtangi (Guest) on December 10, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Komba (Guest) on November 6, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on November 1, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on October 27, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on October 24, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Achieng (Guest) on October 15, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 17, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Tabitha Okumu (Guest) on September 9, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Salima (Guest) on August 26, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on July 16, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Moses Mwita (Guest) on July 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on July 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on June 20, 2021

🀣πŸ”₯😊

Jacob Kiplangat (Guest) on June 9, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Emily Chepngeno (Guest) on June 7, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on April 23, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alice Mwikali (Guest) on April 8, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on March 16, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on March 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on February 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on February 14, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Asha (Guest) on December 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on December 1, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Mwangi (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Kiwanga (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kenneth Murithi (Guest) on November 11, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Maulid (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Malisa (Guest) on October 8, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Selemani (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Kenneth Murithi (Guest) on September 30, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on August 9, 2020

😊🀣πŸ”₯

Rahim (Guest) on August 2, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on July 31, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on July 1, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on May 19, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on March 27, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Andrew Mchome (Guest) on February 29, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kawawa (Guest) on December 14, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 8, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 1, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More