Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on February 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on January 7, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jackson Makori (Guest) on December 30, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Chiku (Guest) on December 22, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on October 23, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Tenga (Guest) on October 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 2, 2021

😊🀣πŸ”₯

Lydia Wanyama (Guest) on September 6, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on August 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on July 5, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Irene Akoth (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rehema (Guest) on June 9, 2021

Asante Ackyshine

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 7, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on April 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Saidi (Guest) on March 6, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nekesa (Guest) on February 15, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on February 7, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on January 10, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on January 6, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on December 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Husna (Guest) on November 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zawadi (Guest) on September 28, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwalimu (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Elizabeth Malima (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 17, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Amani (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Akumu (Guest) on July 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ramadhan (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lucy Kimotho (Guest) on May 6, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Zubeida (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on March 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Issa (Guest) on January 9, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwanahawa (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Robert Okello (Guest) on December 18, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on December 2, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Omari (Guest) on September 28, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salma (Guest) on September 16, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 23, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mary Mrope (Guest) on July 28, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on July 18, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mwajabu (Guest) on July 15, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Daudi (Guest) on July 4, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Wilson Ombati (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on June 22, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More