Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on September 18, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mzee (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Wangui (Guest) on September 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joy Wacera (Guest) on August 31, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Mwangi (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 5, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 2, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Halimah (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Sokoine (Guest) on June 24, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Biashara (Guest) on June 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on April 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam Hassan (Guest) on March 27, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on February 1, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on January 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on December 6, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Miriam Mchome (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Mushi (Guest) on November 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 14, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Kidata (Guest) on October 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on August 4, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on June 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on June 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on May 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on May 2, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 23, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mashaka (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Carol Nyakio (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nyota (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 18, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Njeri (Guest) on March 16, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Agnes Njeri (Guest) on March 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 20, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on February 7, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Monica Adhiambo (Guest) on January 5, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Elizabeth Malima (Guest) on December 27, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 8, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sekela (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on August 24, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Khatib (Guest) on August 20, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alex Nakitare (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More