Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mrema (Guest) on April 26, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Richard Mulwa (Guest) on April 13, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on March 19, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on February 10, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Violet Mumo (Guest) on February 6, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on January 26, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on January 24, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on January 18, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 10, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on January 4, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edith Cherotich (Guest) on October 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on October 17, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on October 15, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on September 21, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on September 20, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on September 20, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mwambui (Guest) on September 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Wilson Ombati (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mariam Kawawa (Guest) on August 18, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on August 8, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mary Mrope (Guest) on July 31, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on July 18, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on July 3, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on May 7, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Wande (Guest) on March 12, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on February 15, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Salima (Guest) on January 26, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Andrew Odhiambo (Guest) on January 20, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on January 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sumaya (Guest) on January 6, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Chacha (Guest) on November 15, 2020

😊🀣πŸ”₯

Benjamin Kibicho (Guest) on November 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Moses Mwita (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on August 18, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on August 6, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on August 2, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 24, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Kawawa (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on May 6, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Zuhura (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Margaret Mahiga (Guest) on April 21, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on March 22, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on March 8, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on February 25, 2020

🀣πŸ”₯😊

Alice Mrema (Guest) on February 19, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on February 4, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on November 28, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 28, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on November 28, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Joseph Mallya (Guest) on November 27, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Abdillah (Guest) on November 9, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mwanaisha (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Ndungu (Guest) on November 3, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More